Mpendasifa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 277
- 111
Wakuu nataka kuagiza hiyo gari kutoka japan,naomba msaada wa kitaalam kuhusu hiyo gari ikiwemo na upatikanaji wake wa spea
Wakuu nataka kuagiza hiyo gari kutoka japan,naomba msaada wa kitaalam kuhusu hiyo gari ikiwemo na upatikanaji wake wa spea
Hapo kwenye username yako watu wanaweza wasikusaidie kujibu.
Hii gari naipenda ikishika njia na kama ni smart driver basi hakuna gari inaweza kukukaribia.
anza na starlet mkuu...mpendasifa
umenena mkuu, wabongo wengi nakosanaga nao kwa huo ujinga wa kusema spea adimu, mara gari inakula sana mafuta, hivi umeagiza gari kali ushindwe kuinunulia mafuta?? itakua uwenda wazimuMkuu usiogope ishu ya spare kama umeweza kuagiza gari sidhani kama utashindwa kuagiza spare...epukana na ugonjwa wa wabongo wengi wa kuogopa magari ya aina hiyo kwa kisingizio cha spare parts.
Bei?Gari nzuri sana mi mwenyewe ninayo A4,B7,nauza nataka ninunue kubwa yake
20 million hakuna maongezi unacheki mzigo ukiuelewa tunamalizaBei?