Isaack Newton
JF-Expert Member
- Apr 15, 2013
- 619
- 366
Habari wakuu,!
Naomba ufafanuzi kuhusu application ya mobile cheater spy maana kuna jamaa mmoja kwenye mtandao wa Facebook anadai yeye ndo mwanzilishi wa hiyo application na kama mtu anataka kui download lazma atume elfu 25 ili kupata codes namba za hiyo apps, na anadai kuwa application yake imeruhusiwa na mamlaka ya mawasiliano yani TCRA sasa nina wasiwasi na huyu jamaa kwa kiasi flani hivi ndo maana nikaja kupata utaalam zaidi kuhusu hii apps jamvini hapa, naomba ufafanuzi mwenye utaalam na hii apps.
Nawasilisha.
Naomba ufafanuzi kuhusu application ya mobile cheater spy maana kuna jamaa mmoja kwenye mtandao wa Facebook anadai yeye ndo mwanzilishi wa hiyo application na kama mtu anataka kui download lazma atume elfu 25 ili kupata codes namba za hiyo apps, na anadai kuwa application yake imeruhusiwa na mamlaka ya mawasiliano yani TCRA sasa nina wasiwasi na huyu jamaa kwa kiasi flani hivi ndo maana nikaja kupata utaalam zaidi kuhusu hii apps jamvini hapa, naomba ufafanuzi mwenye utaalam na hii apps.
Nawasilisha.