Olsea
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 473
- 297
Habari wadau..nipo Mkoani na hapa kwenye kamji ketu Airtel walifunga 4G kwa hyo nikaenda ku swap line na mimi ni enjoy 4G,ajabu imekuwa mateso internet napata kasi nzuri ila nikipigiwa sipatikani hewani na sms haziendi nikituma hata nkitumiwa haziji.Cha ajabu hii lain nikiweka kwenye simu ndogo tatizo linaisha na pia hii smu nikiweka laini nyingne tatzo linaisha, nmewapgia Airtel sjapata msaada nmeambiwa ntembee Airtel shop nmeenda inaonekana nao hawajui maana wanadai watu weng wamekumbwa na hilo tatzo je kuna mwenye experience na hii na alitatuaje?msaada wKuu