Msaada kufungua OTEAS

Msaada kufungua OTEAS

the locksman

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2012
Posts
1,104
Reaction score
357
Unafungua vip OTEAS wakuu kwa ajili ya kuomba kazi ya ualimu. Kwangu imetulia tu haifunguki, saa 5.30 usiku sasa.
 
Seva yao itakuwa imejaa, mana hata ukifungua utauplodi nothing, IT wanaperform poor, Tamisemi waombe msaada wasaidiwe
 
Unafungua vip OTEAS wakuu kwa ajili ya kuomba kazi ya ualimu. Kwangu imetulia tu haifunguki, saa 5.30 usiku sasa.


Ushauri wangu hakikisha unatimiza yafuatayo
1. Kuwa kwenye internet nzuri.
2. Nashauri tumia UC Browser(Ndio niliyofanikiwa kufanya upload) iwe ni kompyuta au simu, ingawa unaweza pia kutumia Firefox au Google chrome.
3. Kama utatuma muda wa usiku sana inaweza kuchukua muda mfupi zaid, hata hivyo kwa mazingira yote inahitaji uvumilivu hadi kufanikiwa kuapload (Appr. 2 - 10 mins au zaid kulingana na mazingira ikiwemo PC yenyewe)
4. Pamoja na hayo yote bado inakubidi kuomba Mungu maana bila yeye unaweza hata ukakata tamaa mapema tuu, imani muhimu.
5. Jitahidi ufanyie kazi hili bado siku moja tuu.

******Hakikisha kila cheti unachotaka kuapload hakizidi 1 Mb************

@ Manyuc
 
Unafungua vip OTEAS wakuu kwa ajili ya kuomba kazi ya ualimu. Kwangu imetulia tu haifunguki, saa 5.30 usiku sasa.
Iko vizuri mno kwa sasa. Kupakia vyeti ni sekunde 2 kwa kila document. Kama bado hujafanikiwa niPM haraka
 
Kuanzia saa 12 hadi saa 2 ilikuwa poa.
sahizi bado cheti kimoja lakini uploading inafeli.
umefanikiwa sahizi?
 
Naifungua hapa naona iko vizuri sana. fanya fasta, kesho mwisho.
 
Nilifanikiwa pia wakuu, ila changamoto ilikua kubwa. Siku wakiita tujulishane.
 
Back
Top Bottom