Toa maelezo zaidi,inakataa una maanisha nini?Kama kuna message inaandika tuambie hiyo message inasemaje au kama haisemi chochote pia tuambie ili tujue pa kuanzia.
Kuidownload haitakataa ila nokia 2700c ni java phone so haisupport files za pdf.
fanya hivi ili uweze kusoma pdf files zako ktk java phone yako;
1.download pdf file lenyewe.
2.search na download application inayoitwa PDF VIEWER katika site HII
3.fungua application hyo na utaidirect kwenye folder ambayo pdf file hyo uliidownload na fungua and ur done!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.