Msaada ku unlock wi-fi router ya halotel

Msaada ku unlock wi-fi router ya halotel

KABAKA28

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2014
Posts
211
Reaction score
229
Habari,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nilinunua router ya halotel kipindi wanaanza huduma zao, mtandao ulikua na speed na package zao zilikua poa sana,
Kwa sasa nao wamekua slow sana na package zao zimepanda sana. Naomba kuelewa kama kuna namna naweza kuifanya router kuwa universal.
Nimejaribu kutumia baadhi ya software kama DC UNLOCKER, MIN UNLOCKER, FMC UNLOCKER ila nimeshindwa.
Naomba kujua kama kuna namna tofauti.
 
Tuma imei zake tu unlock
Habari,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, nilinunua router ya halotel kipindi wanaanza huduma zao, mtandao ulikua na speed na package zao zilikua poa sana,
Kwa sasa nao wamekua slow sana na package zao zimepanda sana. Naomba kuelewa kama kuna namna naweza kuifanya router kuwa universal.
Nimejaribu kutumia baadhi ya software kama DC UNLOCKER, MIN UNLOCKER, FMC UNLOCKER ila nimeshindwa.
Naomba kujua kama kuna namna tofauti.
 
Back
Top Bottom