msaada ktk kingamuzi cha zuku

msaada ktk kingamuzi cha zuku

Baiskeli

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
336
Reaction score
61
Nilikuwa katika kujaribu kuweka passcode kwa chanel ili vijana wawe na limit ya kuangalia baadhi ya chanel nimejikuta nimesahau hizo code. Je nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo.??
 
Nilikuwa katika kujaribu kuweka passcode kwa chanel ili vijana wawe na limit ya kuangalia baadhi ya chanel nimejikuta nimesahau hizo code. Je nifanye nini ili kuondokana na hili tatizo.??

MKuu jaribu hi nenda>settng >factory defaulty kisha weka ok ukfanikiwa 2pe majibu au weka auto search
 
Huo ni uzembe mkubwa, utasahau vipi passcode? Siku nyingine kama unajiona ni msahalifu na una mambo mengi usiige-ige kuweka nenosiri!
 
Kweli nimefanya uzembe, sasa nifanye nini kusolve . Siku ingine sitajaribu
 
Nikitaka kufanya chochote inataka passcode
 
Wakuu naweza kuongeza channels kama ITV, CAPITAL na Star TV kwenye Zuku?
 
Back
Top Bottom