Kuna habari kwamba TCRA itatoa mafunzo ya simu kwa mafundi simu wa upande wa SOFTWARE sasa nilikuwa nataka kujua utaratibu upo vipi na sifa zipi zinatakiwa
Hebu tusaidiane katika hili wandugu
Kuna habari kwamba TCRA itatoa mafunzo ya simu kwa mafundi simu wa upande wa SOFTWARE sasa nilikuwa nataka kujua utaratibu upo vipi na sifa zipi zinatakiwa
Hebu tusaidiane katika hili wandugu
Siyo TCRA Moja kwa moja ni VETA Muda si mrefu utapata mrejesho wako kwenye Maandalizi Walipita kufanya utafiti kwa baadhi ya Mafundi TCRA in collaboration with VETA
Siyo TCRA Moja kwa moja ni VETA Muda si mrefu utapata mrejesho wako kwenye Maandalizi Walipita kufanya utafiti kwa baadhi ya Mafundi TCRA in collaboration with VETA