Msaada kingamuzi changu cha star time

yilima jerad

Member
Joined
Jan 16, 2016
Posts
59
Reaction score
25
Nimekinuuna yapayata mieezi sits iliyopita baggti nbaya nilikua nimesafiri sasa nimerudi kila nikiwasha kinaniambia no signal je nifanyeje, nimejaribu kuzungusha antenna bado Niki search Chanel inaandika no Chanel received, na signal kinasoma 0% je nifanyeje, msaada
 
Ulikua umeshaanza kukitumia !!?? Wasije kua hawakukifungua maana huwa mpaka vifunguliwe ,piva customer care ya star times ndugu
 
Jiridhishe kama pini za cable ziko sawasawa.
 
kama ulikuwa hukitumii lazima iwe hivyo
 
Karibuni wataalam wa mambo ya Satellite dish Ngalawale Eletronics kwa vifaa vya kisasa na utalaamu wa juu tupo Ungindoni mjimwema Dar-es-salaam.Kwa kufika au kupata vifaa vya kisasa kama RG 59,RG 6 Cables,Madishi ya offset yenye stendi kama foot 6,smart watches, smart wear, virtual reality boxes, fuji,single and twin ku lnbs, dish accessories like arms,ku screws,Ku holders,Huhitaji tena kutupa dishi lako likiwa limeoza,gold connectors,Avi cables,DHM1 SELECTOR AND SPRINTER, brackets in different size, Na vinginevyo vingi piga sasa 0763010104 au 0683747717 na whatsapp 0716 525680.
 
Wapigie star time kwa namba hiyo watakusaidia 0764700800
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…