MSAADA: Kijana wangu anasumbuliwa na vipele mwilini

MSAADA: Kijana wangu anasumbuliwa na vipele mwilini

mpndz

Member
Joined
Sep 28, 2011
Posts
81
Reaction score
46
Habari wana JF,
Mimi nina kijana mwenye umri wa miaka 14 na anasumbuliwa na vipele mwilini kwa zaidi ya miezi miwili.

Nilimpeleka hospitali na majibu yakaja kuwa ana fangasi katika damu na kuandikiwa dawa za kumeza griseofulvin kwa mwezi mzima (30days).

Leo ni siku ya 26 lkn bado tatizo liko palepale. Cha kushangaza akioga ama kushika maji vipele vinatokea eneo hilo la ngozi yaan ngozi ikilowa maji.

Nimeona nije kwenu wana JF ili kutafuta msaada zaidi.
 
Ulimpeleka kwa dr wa magonjwa ya ngozi?au ulimpeleka kwa daktari wa aina gani?
 
Habari wana JF,
Mimi nina kijana mwenye umri wa miaka 14 na anasumbuliwa na vipele mwilini kwa zaidi ya miezi miwili.

Nilimpeleka hospitali na majibu yakaja kuwa ana fangasi katika damu na kuandikiwa dawa za kumeza griseofulvin kwa mwezi mzima (30days).

Leo ni siku ya 26 lkn bado tatizo liko palepale. Cha kushangaza akioga ama kushika maji vipele vinatokea eneo hilo la ngozi yaan ngozi ikilowa maji.

Nimeona nije kwenu wana JF ili kutafuta msaada zaidi.

Vipele Vipo sehemu gani?
 
Habari wana JF,
Mimi nina kijana mwenye umri wa miaka 14 na anasumbuliwa na vipele mwilini kwa zaidi ya miezi miwili.

Nilimpeleka hospitali na majibu yakaja kuwa ana fangasi katika damu na kuandikiwa dawa za kumeza griseofulvin kwa mwezi mzima (30days).

Leo ni siku ya 26 lkn bado tatizo liko palepale. Cha kushangaza akioga ama kushika maji vipele vinatokea eneo hilo la ngozi yaan ngozi ikilowa maji.

Nimeona nije kwenu wana JF ili kutafuta msaada zaidi.

Magonjwa ya ngozi ni vigumu kuyafanyia maamzi bila kuona:
1: muundo wa vipele/shape
2: mtawanyiko wake/pattern
3: mwonekano wa jumla/appearance
4: kuweza kujua jinsi vilivyoanza
5: uwepo au kutokuwepo kwa muwasho
6: muwasho ukiwepo, unakuwa zaidi wakati gani?
7: matumizi ya kitu chochote kipya: juu ya ngozi au kula ndani ya muda husika.
8: historia kuhusishwa kwa wanafamilia au maidha ya mhusika hapo kabla.

Ingawa, nachelea jibu la fangasi kwenye damu.

NB: Kama utapata huduma ya daktari bingwa wa magonjwa ya ngozi/dermatologist ni vyema zaidi.
 
Back
Top Bottom