Msaada: Kazi ya kuuza duka inatafutwa

Msaada: Kazi ya kuuza duka inatafutwa

LAMU

Member
Joined
Jun 12, 2016
Posts
51
Reaction score
19
Habari zenu wakuu !! Samahani kuna ndugu yangu anatafuta kazi ya kuuza duka , elimu yake ni kidato cha NNE, znauzoefu na kazi hiyo kwa muda wa miaka miwili, anaumri wa miaka 25, ni mchapakazi sana, ila anamtoto. kwa yeyote mwenye anayehitaji au anamtu anamjua anaehitaji naomba ani PM nitamuunganisha naye, aksanteni sana na mungu awabariki sana, msaada wenu ni muhimu kwake.
 
Anatafuta kazi mkuu, samahani sana nimakosa ya matumizi ya lugha tuu
 
Anatafuta kazi specifically kuuza duka. Je, duka la vifaa vya ujenzi kubeba nondo na cement ataweza??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom