Msaada katika simu ya samsung gt s5830

Msaada katika simu ya samsung gt s5830

Joined
Apr 8, 2012
Posts
29
Reaction score
0
Wakuu naomba msaada wenu kwani mimi ninasimu aina ya samsung GT S5830.Mwanzoni ilikuwa na version 2.3.6 ila nilikuja kuizidisha version ya os (jelly bean ya 4.1.1).Na ikawa inafanya kazi kama kawaida ila nilichokuja kugundua kama ukitia headset hazifanyi kazi,na wakati mwanzo ilipokuwa na version ya 2.3.6 ilikuwa ikifanya kazi kama kawaida.Sasa naomba msaada kwa anaejuwa kama ipo sehemu ya kuiset ikawa inafanya kazi aw kuna software inahitajika kutia......AHSANTENI.
 
Kama ni Samsung Ace 5830i hizo hazina offical update bali kuna Custom ROM ambazo zina bugs tele hata ukipata isiyo na bugs still unabaki kule kule 3.6.2 maana hutoweza install apps za 4.1.1
Bora uirudishe kwenye stock ROM kwa kuiflash na Odin
 
Wakuu naomba msaada wenu kwani mimi ninasimu aina ya samsung GT S5830.Mwanzoni ilikuwa na version 2.3.6 ila nilikuja kuizidisha version ya os (jelly bean ya 4.1.1).Na ikawa inafanya kazi kama kawaida ila nilichokuja kugundua kama ukitia headset hazifanyi kazi,na wakati mwanzo ilipokuwa na version ya 2.3.6 ilikuwa ikifanya kazi kama kawaida.Sasa naomba msaada kwa anaejuwa kama ipo sehemu ya kuiset ikawa inafanya kazi aw kuna software inahitajika kutia......AHSANTENI.

rudisha version ya mwanzo tu
 
spymate hiyo odin ninaweza nikaidownload na kuifanyia hiyo kitu ya kuflash aw mpaka niwe na box
 
Back
Top Bottom