Ana three ya 16 (Physics -E, Chemistry- S, A/maths- E. Je anaweza pata chuo cha kusoma Bachelor Degree?
Husika na mada tajwa hapo juu, nina mdogo wangu ana ufaulu tajwa hapo juu, je anaweza pata chuo cha kusomea shahada ( bachelor degree)?
Tafadhali wajuzi wa mambo nisaidieni. Maana guide ya tcu inasema minimum entry ni 4.0. Je kama haipo deploma anaweza pata?