Wadau naomba kuuliza, mtu akipoteza kadi original ya gari anatakiwa afanyeje ili kupata nyingine? Na pia procedures gani anatakiwa afanye kubadilisha kutoka business use to private use.
Wadau naomba kuuliza, mtu akipoteza kadi original ya gari anatakiwa afanyeje ili kupata nyingine? Na pia procedures gani anatakiwa afanye kubadilisha kutoka business use to private use.
Ina maana humjui aliyekuuzia gari au mliuziana njia panda, hakuna sehemu mliandikishiana, huna mawasiliano nae, hata dalali aliyewaunganisha huna mawasiliano nae?