Nenda polisi kachukue lost report then nenda tra watakupatia kadi nyingineWadau naomba kuuliza, mtu akipoteza kadi original ya gari anatakiwa afanyeje ili kupata nyingine? Na pia procedures gani anatakiwa afanye kubadilisha kutoka business use to private use.
Kazi ni Kazi
iv unavyoenda polis lazma ulikumbuke jina la kadi ya alie kuuzia gari et kama umesahau kulipata jina unafanyeje?Nenda polisi kachukue lost report then nenda tra watakupatia kadi nyingine
Sent using Jamii Forums mobile app
iv unavyoenda polis lazma ulikumbuke jina la kadi ya alie kuuzia gari et kama umesahau kulipata jina unafanyeje?
Ina maana ulikuwa unatembea na kadi original ndani ya gari?iv unavyoenda polis lazma ulikumbuke jina la kadi ya alie kuuzia gari et kama umesahau kulipata jina unafanyeje?