Noel kaniki
Member
- Feb 22, 2013
- 22
- 4
msaada juu ya qualification za applicant anaechukua certificate ya procurement chuo cha TIA, every each quality.
kwa wale wanaojua hili swala nisaidieni.
kwa wale wanaojua hili swala nisaidieni.
uwe na pass nne.
wanasema math uwe na D lkn sio muhimu. Mimi nipo diploma mwaka wa pili sasa, nilianza certificate bila D ya math. Kikubwa wanataka tu pass nne. Zaidi tembelea hapaHome