Msaada juu ya malipo ya bima ya gari:

Hivi kuna umuhimu kweli wa kufanya bima ya magari binafsi kuwa ya lazima? Naona ingefanywa hiari kwa anayetaka..ni wazo tu wadau
Kwa tanzania ni bora ukate thid part ujue moja kwa incase of damage unagharamia mwenyewe kuliko unalipa karibu milioni moja kila mwaka halafu ukipata ajali mizengwe inaanzai
 
Kwa tanzania ni bora ukate thid part ujue moja kwa incase of damage unagharamia mwenyewe kuliko unalipa karibu milioni moja kila mwaka halafu ukipata ajali mizengwe inaanzai
Inategemea na wakala anao watumia. Wakala wengine ni usumbufu sana.
 

asante sana mkuu!. mia
 
mkuu ni kampuni ipi ya bima ambayo ni nzuri?
sijafuatilia bei za kampuni zote lakini naikubali The jubilee Insurance. COMPREHENSIVE ziko hivi;-gari hadi cc 1500 ni 4-3% ya bei ya gari,-gari zaidi ya cc 1500 hadi ton 2 ni 4-2%.bima ndogo cc 1500 ni tsh 50,000/-, zaidi ya cc 1500 ni tsh 60,000/-tons 2 ni tsh 50,000/-.Hizo bei ni kwa private vehicles tu. mfano kuna commercial(goods carrying na tankers), motorcycles, tour operator, ambulance, tractors, min bus n.k. mia
 
Ahsante nashukuru
 
9 years now. Bado hizi percantage zipo hivi hivi? Sorry
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…