sijafuatilia bei za kampuni zote lakini naikubali The jubilee Insurance. COMPREHENSIVE ziko hivi;-gari hadi cc 1500 ni 4-3% ya bei ya gari,-gari zaidi ya cc 1500 hadi ton 2 ni 4-2%.bima ndogo cc 1500 ni tsh 50,000/-, zaidi ya cc 1500 ni tsh 60,000/-tons 2 ni tsh 50,000/-.Hizo bei ni kwa private vehicles tu. mfano kuna commercial(goods carrying na tankers), motorcycles, tour operator, ambulance, tractors, min bus n.k. mia