Msaada juu ya kutuma maombi ya vyuo

Msaada juu ya kutuma maombi ya vyuo

Bakari Choya

Member
Joined
Aug 13, 2017
Posts
15
Reaction score
0
Naomba kuuliza juu ya taarifa iliyotolewa na tamisemi kuhusu wanafunzi ambao hawakuchaguliwa kujiunga kidato cha tano. Je ni ipi tarehe ya kuanza kutuma maombi ya vyuo na tarehe ya mwisho ni lini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu mwisho wa kutuma msombi ilikuwa tarehe 20 august kwa vyuo vya kati. pia mwisho wa kutuma maombi ya vyuo vikuu ni leo 30 august.
 
Dah nna mdogo angu nae alikuwa anasubiri second selection kakosa. Ina maana na chuo nako kakosa! Atasota sana kitaa hadi huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom