Msaada juu ya kumonitor network kwa user kwenye office

Msaada juu ya kumonitor network kwa user kwenye office

jaflex

Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
15
Reaction score
3
Naomba msaada wa kupata software amboyo itaniwezesha ku control user katika matumizi ya mtandao internet ili niweze kutambua mtu mwenye matumizi makubwa niweze kulimit.
 
Mkuu nakushauri utafute Mikrotik Desktop Router ila utahitaji mtaalamu wa kukufanyia configurations unazozitaka kama haupo familiar na masuala ya networks
 
Unifi routers na access points zinakupa options hizo...u can c who is connected allow en forbid a device to connect etc...
 
Ulipata mkuu? Nami nahitaji kitu kama hiki
Post #2 amekupa pa kuanzia.
Labda niulize swali unatumia router gani?

Router nyingi zina sehemu ya kuangalia host (device) gani inakula bandwidth kubwa. Yani ina matumizi makubwa.

Tumia winbox application.
Kisha nenda kwenye firewall kupitia admin panel ya router ufanye settings za kumzuia (block) au kumuachia (unblock) huyo host (device).

Una access ya router admin panel? Kama huna wapigie ISP wako watakupa kama mkataba wenu unaruhusu.

Mara nyingi wakikupa hizo credentials maana yake kuanzia wakati huo wewe utakuwa responsible kwa ku-manage hiyo network.

Kama huwezi kutumia Winbox kwa kuingia kwenye router yako basi tumia mojawapo ya hizi IP addresses 192.168.1.1, 192.168.0.1, au 10.0.0.1. kwenye web browser.
 
Post #2 amekupa pa kuanzia.
Labda niulize swali unatumia router gani?

Router nyingi zina sehemu ya kuangalia host (device) gani inakula bandwidth kubwa. Yani ina matumizi makubwa.

Tumia winbox application.
Kisha nenda kwenye firewall kupitia admin panel ya router ufanye settings za kumzuia (block) au kumuachia (unblock) huyo host (device).

Una access ya router admin panel? Kama huna wapigie ISP wako watakupa kama mkataba wenu unaruhusu.

Mara nyingi wakikupa hizo credentials maana yake kuanzia wakati huo wewe utakuwa responsible kwa ku-manage hiyo network.

Kama huwezi kutumia Winbox kwa kuingia kwenye router yako basi tumia mojawapo ya hizi IP addresses 192.168.1.1, 192.168.0.1, au 10.0.0.1. kwenye web browser.
Shukrani mkuu.
Ni kweli ametoa muongozo, ila sometimes ujuzi unazidiana.
Kilichopo ni kwamba muda wa kazi, watu wako busy na youtube, social media, vitu kama hivo.
Sasa basi, kinachotokea, kwa hizi Internet zetu, utakuta kama ni dairly package, inaisha mapema wakati bado kazi inaendelea. Hivyo, kuna ombi la kuondoa baadhi ya urls. Kuna router ya CISCO, ambayo najua inafanya hiyo kazi, bahati mbaya, CISCO sijaisoma.
 
Shukrani mkuu.
Ni kweli ametoa muongozo, ila sometimes ujuzi unazidiana.
Kilichopo ni kwamba muda wa kazi, watu wako busy na youtube, social media, vitu kama hivo.
Sasa basi, kinachotokea, kwa hizi Internet zetu, utakuta kama ni dairly package, inaisha mapema wakati bado kazi inaendelea. Hivyo, kuna ombi la kuondoa baadhi ya urls. Kuna router ya CISCO, ambayo najua inafanya hiyo kazi, bahati mbaya, CISCO sijaisoma.
Wewe unahitaji Technician ili akufanyie hio kazi wewe ni User sio Technician,
 
Hivyo, kuna ombi la kuondoa baadhi ya urls. Kuna router ya CISCO, ambayo najua inafanya hiyo kazi, bahati mbaya, CISCO sijaisoma.
Hata router ya CISCO unaweza kuingia kwenye admin panel yako unaenda kwenye firewall unatengeneza blacklist ya url za ku-block.
Kwa mfano Kuna pick hours za kazi watu hawatakiwi kushinda YouTube basi una activate tu hiyo list yenye blacklisted sites.
Ukiona muda muhimu huo bado au umepita unaweza kuziachia una deactivate tu hiyo list au tuiite policy.
Tumia hizo IP addresses nilizokupa ingia kwenye router yako kwa web browser kisha nenda kwenye help ukasome maelekezo utakuta wapi firewall na namna ya kutengeneza hizo list au policy.

Kifupi Google "how to block YouTube in CISCO router firewall".
Hapo utapata maelekezo vizuri na link za video zinazo elekeza kwa kuona Kama wewe siyo msomaji mzuri unapenda kuona mtu alikanya kwa vitendo kitu husika.

REMEMBER: Sikuzote Google ndiyo rafiki wako wa kwanza ukihitaji msaada wa maelekezo ya kufanya kitu chochote kwenye technology.
 
Shukrani mkuu.
Ni kweli ametoa muongozo, ila sometimes ujuzi unazidiana.
Kilichopo ni kwamba muda wa kazi, watu wako busy na youtube, social media, vitu kama hivo.
Sasa basi, kinachotokea, kwa hizi Internet zetu, utakuta kama ni dairly package, inaisha mapema wakati bado kazi inaendelea. Hivyo, kuna ombi la kuondoa baadhi ya urls. Kuna router ya CISCO, ambayo najua inafanya hiyo kazi, bahati mbaya, CISCO sijaisoma.
Kwa sababu za kiusalama mashindwa kukusaidia remotely.
Sababu inabidi unipe access ya kuingia kwenye router yako. Kitu ambacho siyo salama kwangu na kwenu/kwako.
 
Back
Top Bottom