Political stability
JF-Expert Member
- Apr 7, 2021
- 905
- 1,410
Wakuu habari
Sikufanikiwa kumaliza degree yangu pale IFM, niliishia mwaka wa pili, kutokana na sababu fulani,fulani..
Ila wamesema, nitapewa cheti, as a Higher Diploma student, kama nitahitaji degree, nirudi tena chuo kwa mwaka mmoja..
Sasa, swali, kupitia hicho cha Higher Diploma, naweza kukitumia kuombea kazi?
Sikufanikiwa kumaliza degree yangu pale IFM, niliishia mwaka wa pili, kutokana na sababu fulani,fulani..
Ila wamesema, nitapewa cheti, as a Higher Diploma student, kama nitahitaji degree, nirudi tena chuo kwa mwaka mmoja..
Sasa, swali, kupitia hicho cha Higher Diploma, naweza kukitumia kuombea kazi?