Msaada juu ya higher diploma certificate

Msaada juu ya higher diploma certificate

Political stability

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2021
Posts
905
Reaction score
1,410
Wakuu habari

Sikufanikiwa kumaliza degree yangu pale IFM, niliishia mwaka wa pili, kutokana na sababu fulani,fulani..

Ila wamesema, nitapewa cheti, as a Higher Diploma student, kama nitahitaji degree, nirudi tena chuo kwa mwaka mmoja..


Sasa, swali, kupitia hicho cha Higher Diploma, naweza kukitumia kuombea kazi?
 
Back
Top Bottom