Rais Msomi
Member
- Jul 28, 2017
- 53
- 67
Habari Wandugu wa Jf!!
Ndugu naomba msaada wa haraka kwa mtu yeyote ambaye ana uzoefu wa kutosha ama amewahi kutumia Hearing Aids kwani nina matatizo ya masikio.
Last week nimefika KCMC,nikaonana na Specialist wa Kitengo cha ENT,kwa kuwa ilikuwa Rufaa alifanyia check up na baadaye akanielekeza kwenda kupima.
Baada ya Vipimo mle chumbani, technologist aliyenipima aliniambia masikio yangu yana tatizo na hivyo solution ni hearing aids.
Akasema kwa Kiwango cha tatizo ililonalo unapaswa kulipia Laki3 kwa masikio yote mawili.
Nimesikia Hearing Aids zina challenges zake ...Tafadhali kwa mtu mwenye utalaamu nazo anipe ushauri kabla ya kwenda kuzichukua.
Natanguliza Shukrani!!
Ndugu naomba msaada wa haraka kwa mtu yeyote ambaye ana uzoefu wa kutosha ama amewahi kutumia Hearing Aids kwani nina matatizo ya masikio.
Last week nimefika KCMC,nikaonana na Specialist wa Kitengo cha ENT,kwa kuwa ilikuwa Rufaa alifanyia check up na baadaye akanielekeza kwenda kupima.
Baada ya Vipimo mle chumbani, technologist aliyenipima aliniambia masikio yangu yana tatizo na hivyo solution ni hearing aids.
Akasema kwa Kiwango cha tatizo ililonalo unapaswa kulipia Laki3 kwa masikio yote mawili.
Nimesikia Hearing Aids zina challenges zake ...Tafadhali kwa mtu mwenye utalaamu nazo anipe ushauri kabla ya kwenda kuzichukua.
Natanguliza Shukrani!!