Hawa Jamaa Sasa uvumilivu umewashinda. Katika Toleo lao la IPHONE XS ambayo inatarajiwa kutoka mwishoni mwa mwezi wa Tisa au mwezi wa kumi mwanzoni itakuwa na line mbili yaani DUAL SIM Kama ambavyo imetangazwa. Kuna hawa Die-hard funs wa Iphone huwa wana mitazamo ya kijinga sana kuhusu Dual...