ICHANA
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 4,765
- 3,596
Wana JF, naombeni ushauri kama kuna mtu amewahi kuwa na tatizo kama langu au hospital gani naweza pata tiba.
Nina tatizo la kupiga chafya limenianza around miezi kadhaa sasa naona kama kero na huenda kuna tatizo sehemu.
Nakuwa napiga chafya mfululizo hata kumi kwa wakati mmoja wakati mwingine wa chafya pua zinakuwa zinawasha ndani na mafua ambayo ndani ya dakika kumi na tano narudi hali yangu ya kawaida.
Na huwa inatokea asubuhi mara napoaamka, au ile natoka kuoga, na mchana.
Nina tatizo la kupiga chafya limenianza around miezi kadhaa sasa naona kama kero na huenda kuna tatizo sehemu.
Nakuwa napiga chafya mfululizo hata kumi kwa wakati mmoja wakati mwingine wa chafya pua zinakuwa zinawasha ndani na mafua ambayo ndani ya dakika kumi na tano narudi hali yangu ya kawaida.
Na huwa inatokea asubuhi mara napoaamka, au ile natoka kuoga, na mchana.