Msaada Juis ya mboga mboga za majani

malembeka18

JF-Expert Member
Jan 26, 2018
2,780
2,716
Habar wakuu Nina juicer machine yenye uwezo wakukamua mboga zamajani kuwa juice na makapi yake yanakua pembeni na nabakia na juice ..wakuu nauliza Kuna madhara yakukamua mboga za majani bila kuchemsha nakutoa juisi yake nnkainywa
 
Aah mfano ya matembele ni nzuri kwa damu, bamia kulainisha joint, hayo mengine sijui
 
Haina shida mbona wanyama wanakula Makamu hawapiki na kuna watu hata nyama wanaila haiivi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom