kelvinerasto1
New Member
- Nov 25, 2017
- 2
- 0
Naombeni msaada jinsi ya kutumia port au proxy server kupata unlimited internet.......
aisee naona vyuma vimekaza nani kakwambia kwakutumia port na proxy server unapata unlimited internet?Naombeni msaada jinsi ya kutumia port au proxy server kupata unlimited internet.......
Sasa ntafanyaje kaka naomba msaadaaisee naona vyuma vimekaza nani kakwambia kwakutumia port na proxy server unapata unlimited internet?
kwani wewe hizo story umezisikia wapi? tuanzie hapoSasa ntafanyaje kaka naomba msaada
Binafsi nmewahi tumia proxy kipind flan hv! Cjui wat happened walokua wanatoa service waka potea. Any idea?ukipata jibu nibeep mkuu!!
uwezo huo upo nainawezekana sana duniani kote ila kunaitaji umakini wa hari ya juuNaombeni msaada jinsi ya kutumia port au proxy server kupata unlimited internet.......
Kama shida ni kuingia jf au Facebook bila malipo pakua https://play.google.com/store/apps/details?id=org.internet na utumie mtandao wa Voda na Tigo hata kama huna salioNaombeni msaada jinsi ya kutumia port au proxy server kupata unlimited internet.......
uwezo huo upo nainawezekana sana duniani kote ila kunaitaji umakini wa hari ya juu
Kwanza umekosea kuuliza sehemu hakuna mtu atakaweza kukusaidi hapa coz kila mmoja hataki kitumbua kimwagiwe mchanga coz akijitolea mtu hapa kukufundisha kama leo hadi ikifika j,3 hatoweze kupata hiyo huduma watu wa mitandao wapo humu wanzunguka kama C.I.A kutafuta vitu kama ivyo watu wasitumie bure Internet zao coz wao wanalipa kodi ya taifa alafu wewe utumie bure na kuafundisha wezako kituicho huwa hawataki na watafunga huo mwanya ulikuwa unautumia kupata internet free sasa hapo utampa kazi mtu anaetafuta uchochoro wa kutumia internet free mwengine utampa kibarua cha kutafuta kipya na wakati alikuwa anatumia kwa mselereko sana
Pili cha kukushauli tafuta Forums za njee ya nchi hii labda kama vile uwingeleza malekani canada india alafu uliza swali kama hilo huko watakupa mlolongo mzima wa kutumia Internet free na utafanikiwa zaidi na utatumia vizuri ila ukishaipata ukisanbaza itakula kwako ndani ya wiki utaludi shimoni na kutumia internet ya kununua hapa kunawatu wanauza VPN humu lakini kwa sasa hawataki coz kila baada ya mwezi huwa zinafungiwa sasa wameamua kukaa kimya sijui kama wanaendelea au laa na humu hutoweza kupata jibu sahii utasikia mtu anakujibu kwa kujisikia au takuuliza swali kama hili wewe umesiki wapi mambo hayo sio kama ajui anajua ila anajua madhala hiyo kitu kukupa maujuzi hayo atapoteza kitonga chake bola atulie kama mualabu na BOMU lake kwenye uwanja wa ndege.
NIMEMALIZA