Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 643
Ama kweli ndama wa maskini hazai, akizaa huzaa dume. Nilikuwa na shauku Sana anko wangu aliponijulisha kuwa ataniletea simu kali. Hamadi, siku wa siku nikaletewa HTC one m7. Kuweka laini naambiwa no service. Kucheck status naambiwa SIM card locked. Nusura nitoe machozi, shauku yote kwisha. Kinachonishangaza Ni kuwa contacts naziona za kwenye simu card pamoja na applications zake ila mnara unaonesha hakuna network na Kuna alama x. Anko anasema si mtalaam Sana na aliinunua bila kujua kama ni locked ama la.
Taarifa zinainesha ilikuwa inatumiwa na mtandao wa t-mobile huko USA
Nitatulieni hili tatizo wakuu ili niweze kuongeza heshima hapa mtaani
Nipo Geita Mwanza. Kama upo Dar au mwanza, naweza kumtuma mtu ailete
Karibuni
Taarifa zinainesha ilikuwa inatumiwa na mtandao wa t-mobile huko USA
Nitatulieni hili tatizo wakuu ili niweze kuongeza heshima hapa mtaani
Nipo Geita Mwanza. Kama upo Dar au mwanza, naweza kumtuma mtu ailete
Karibuni