DMCT
JF-Expert Member
- Apr 25, 2015
- 2,277
- 5,929
Wakuu kuna mtu nilikua namdai fedha kias fulan kashndwa kunilipa.. Niliamua kumnyang'anya simu aina ya vodafone kwamb atakuja kuikomboa mby zaidi nimekaa nayo kma miez miwil hyo jamaa haji... Tatzo ina pattern nataka niitoe bila kwenda kwny pc please msaada tafadhali... Wasaalam