Msaada: Jinsi ya kusave Whatsapp profile picture ya mtu!

Msaada: Jinsi ya kusave Whatsapp profile picture ya mtu!

Malingumu

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2012
Posts
616
Reaction score
433
Wakuu nauliza kama kuna namna naweza save Profile Picture ya mtu ya Whatsapp kwenye simu yangu maana naona hiyo option siioni au kama kuna prog yoyote inabidi nidownload tafadhari mnijuze.NB: Natumia TECNO S3.
 
Unataka kusave picha za watu kwenye profile zao kwa ajili ya nini...muombe akutumiye
 
Huo kweli msaada! jamani mwingine anakwambia hana picha nyingine so the only option ni kusave hiyo ya kwenye profile yake,yeye ndio karuhusu et!
 
Unaweza kusave profile picha sema sijajua file zako umezipanga vipi kwenye simu yako
 
Haipigi screen shot? Siku hizi ukiwa na namba ya mtu unamchora haswaaa kwi kwi.
 
Wakuu nauliza kama kuna namna naweza save Profile Picture ya mtu ya Whatsapp kwenye simu yangu maana naona hiyo option siioni au kama kuna prog yoyote inabidi nidownload tafadhari mnijuze.NB: Natumia TECNO S3.

fanya hivi...
1. fanya kuiangalia iyo profile picture (iangalizie kwenye whatsapp)
2. nenda kwenye file manager ya simu yako > sd card > whatsapp > profile pictures utaikuta
 
fanya hivi...
1. fanya kuiangalia iyo profile picture (iangalizie kwenye whatsapp)
2. nenda kwenye file manager ya simu yako > sd card > whatsapp > profile pictures utaikuta

Angaliye internal memory most file za whatsapp zinakuwa katika internal memory
 
Angaliye internal memory most file za whatsapp zinakuwa katika internal memory

internal memory zinakaa file zinazofanya whatsapp irun. ila file zingine kama cache. backup. downloads. na profile pictures uwa zinakwaa kwenye folder limeandikwa sdcard > whatsapp
 
Screen capture hiyo dp ya huyo mtu. As simple as that
 
internal memory zinakaa file zinazofanya whatsapp irun. ila file zingine kama cache. backup. downloads. na profile pictures uwa zinakwaa kwenye folder limeandikwa sdcard > whatsapp

Sijakataa kama hawezi kukaa external memory mara nyingi inakuwa internal memory hasa simu kubwa
 
Au nenda kwenye files then tafuta la whatsapp then cheki profile pictures. Done
 
Sijakataa kama hawezi kukaa external memory mara nyingi inakuwa internal memory hasa simu kubwa

true true mkuu... simu zenye memory kubwa uwa hazitumii hata memory card zingine...
 
Na mimi naomba msaada hapa hapa, Nataka kujua namna ya kuificha notification inapoingia message
 
Na mimi naomba msaada hapa hapa, Nataka kujua namna ya kuificha notification inapoingia message

Zipo app lakini zote siyo kama zinafisha online bali zina switch off data automatic unapo activate hizo app...hata wewe unaweza unaswitch off data unafungua whatsapp sema kuna mmoja inauwezo huo ni whatsapp plus na ni ya kulipia
 
Asanteni,Nimefanikiwa kwa njia hii.. "fanya hivi...
1. fanya kuiangalia iyo profile picture (iangalizie
kwenye whatsapp)
2. nenda kwenye file manager ya simu yako > sd
card > whatsapp > profile pictures utaikuta"
 
Back
Top Bottom