Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nyota 152 nyota sufuri sufuriiii reli kipigio, fuata maelekezo
Nenda kwenye website ya nida kuna sehemu utasearch,mbona kila mtu kapata,we ulikuwa wapi?
Duuuh hope hewaa nimetoka pekeyake BILA mengineyoooMkuu kuna comment yako nimeiona mahala ya kuhusu huko Chato mambo ya uchaguzi, eti umeweka namba za simu halafu uka malizia kwa ajili ya teuzi, promotion etc. nimecheka sana hadi nimetoa hewa kwa njia ya chini. hahahaha
hahaahahahahahahhDuuuh hope hewaa nimetoka pekeyake BILA mengineyooo
Hio inaitwa hewa ya ukaa.Mkuu kuna comment yako nimeiona mahala ya kuhusu huko Chato mambo ya uchaguzi, eti umeweka namba za simu halafu uka malizia kwa ajili ya teuzi, promotion etc. nimecheka sana hadi nimetoa hewa kwa njia ya chini. hahahaha
Hio inaitwa hewa ya ukaa.
Una muda gani tangu umejiandikisha.Hapa nimejaribu holaaah
Huu Uzi umenisaidia kupata namba ya nida..
Ahsante mn'gato
Nilijaza fomu lakini sikupiga picha je nitapata namba yangu kwenye hio link??Una muda gani tangu umejiandikisha.
SawaAhsante mkuu.
Tukiweza tuwasambazie na wengine hizi links ili tuwapunguzie gharama za kwenda huko NIDA mkuu.
Asante mkuu,barikiwa sana.Sawa
Nimeshawasambazia wengine watatu..nao wameshapata namba.
Barikiwa Sana
Ingia hapo jaza details zako utapata No. Yako,https://services.nida.go.tz/nidportal/get_nin.aspx
Na ukitaka kuki-download hicho kitambulisho kuna option hio pia.
AmeenAsante mkuu,barikiwa sana.