Msaada: Jinsi ya kupata bima ya NHIF

Msaada: Jinsi ya kupata bima ya NHIF

R_Breazy

Member
Joined
Aug 28, 2025
Posts
32
Reaction score
54
Habari za wakati huu

Naombeni msaada au kama kuna wahusika moja kwa moja wanipe msaada niweze kupata bima ya afya.

Ndugu yangu amepata ajira serikalini mwaka huu, tangu aingie kazini amekuwa akifuatilia maswala ya bima ila hadi leo hajapata, worse situation pesa ya bima inakatwa na bima hajapata na wala hana access ya kutumia hiyo bima kupata huduma kwenye vituo vya afya.

Je, afanye nini ili apate bima yake kwa wakati,au atumie njia gani ili aweze kutumia bima yake sababu pesa anakatwa? Na kama bima hajapata afanyaje pesa anayokatwa isikatwe?

Mwenye uelewa hapa naomba msaada katika hili either direct or indirect.

Yupo Njombe.
 
Back
Top Bottom