Hi natoa kwa dakika 3 tuuu, utaniachia 15000 tuHabari za jioni wakuu naombeni mnisaidie njia rahisi kutumia niweze kuondoa password kwenye HDD maana nimepewa mwenye nayo pia kasahau sasa nataka niipige window
ok, ngoja nikuulize swali moja alafu mengine yatafuta lengo kusaidia ninaweza nikakutumia software kama navyozani mimi ndio ivyo swali langu ni hivi ipo kwenye BIOS?Habari za jioni wakuu naombeni mnisaidie njia rahisi kutumia niweze kuondoa password kwenye HDD maana nimepewa mwenye nayo pia kasahau sasa nataka niipige window
Sio kweli inatoka wewe uzo wako tu na watu wanauwezo waoHD password haitoki huo ndo ukweli inabidi ununue HD mpya.
ok, ngoja nikuulize swali moja alafu mengine yatafuta lengo kusaidia ninaweza nikakutumia software kama navyozani mimi ndio ivyo swali langu ni hivi ipo kwenye BIOS?
ok, nimekuelewa hiyo HDD iliwekwa passcode kwenye hiyo pc ambayo munaitumia sasa au iliwekwa kwenye pc nyengine?Password ipo kwenye HDD lakini nikiwasha PC inaomba kwanza password ndio iendelee na Post (power on self test) yani in short bila kuinsert pass inakuwa kama bios ndio locked sababu hakuna kinachokuwa loaded
HD Password haitoki mzee acha ubishi, unless huyu jamaa anakosea anaongelea kitu amcho sio HD password. Tupa hiyo HD.Sio kweli inatoka wewe uzo wako tu na watu wanauwezo wao
Tumia cmd prompt disk part.. Jaribu ku eraseHD Password haitoki mzee acha ubishi, unless huyu jamaa anakosea anaongelea kitu amcho sio HD password. Tupa hiyo HD.
mkuu wewe tu unashindwa jiongeze iyo kitu inatoka siku moja njoo ofcn nikuoneshe vitu usivyo vijua na ww unionyeshe mimi nsivyo vijua wewe kunavitu unanizid na mm kunavitu nakuzidi usibshe angalia hoyo pcha hapo kwenye mshaleHD Password haitoki mzee acha ubishi, unless huyu jamaa anakosea anaongelea kitu amcho sio HD password. Tupa hiyo HD.
aina gani hiyo PCIliwekwa kwa PC nyingine ilikuwa kama external ndio ikawa encrypted