King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,374
- 88,604
Nashauli usikate mwenye unaweza ukaiaribu line bora ukatiwe na kampuni husika maana wana vifaa special kwa ajili ya kazi hyo Somji Juma
Last edited by a moderator:
habari zenu wakuu..
naomba mnisaidie jinsi gani naweza kukata laini yangu ili iwe MICRO SIM from MIN-SIM..