hapo mkuu tafuta mtu mwenye nayo hiyo micro sim.ndio ugandamizie ukate na mkasi hata dk moja haishi,ila ukisema ubahatishe utamaliza hata box zima.Kama una hela nenda voda/tigo/airtel wakukatie kwa shilingi elfu 4!!!hata sekunde haiishi.We azima kwa mtu mwenye line ya size hiyo kata mwenyewe.
Tena nikihamisha natumia kwenye simu ya kawaida
Google .....how to cut a micro sim Somji Juma
habari zenu wakuu..
naomba mnisaidie jinsi gani naweza kukata laini yangu ili iwe MICRO SIM from MIN-SIM..