sha classic
Member
- Feb 11, 2017
- 22
- 44
Nimeomba ushauri jinsi ya kujiondoa "Chaputa"
sasa hivi naanz kuutumia huu ushauri hapa ntarudi na najibuAaahhh Fanya hivi kijana angu:
1. Kuwa busy na mambo yako, yaani we endelea kuwa busy tu, yaani nasema kuwa busy tu yaani. Sijui km unanielewa, yaani nasema kuwa busy for real.
Kuna namna mbili za kuwa busy: a. Kimatendo na b. Kifikra so, kuwa busy kwa zote meeeeen.
2. Kuwa mbali sana na kile kinachokusababishia hayo mambo. Yaani ikimbie haswa. Dogo sijui km unanielewa yaani toka nduki wala usitazame mara mbili
Then, baada ya muda njoo hapa na wine ya kunishukuru kumbafu sana we.
Hili ndio jibuTafuta mwanamke uoe.
Punguzeni kubana miguu chaputa itatuaa aiseeHivi mnataka nani atutoe hamu?
Yaani wanaume mnapotea kwa kasi
Hivi mnataka nani atutoe hamu?
Yaani wanaume mnapotea kwa kasi
Na nyinyi mnabana sana aiseeehhHivi mnataka nani atutoe hamu?
Yaani wanaume mnapotea kwa kasi