Msaada: Jinsi ya kujaza form ya mkopo

Msaada: Jinsi ya kujaza form ya mkopo

Hannat15

Member
Joined
Jul 6, 2016
Posts
33
Reaction score
16
Naomba kufahamu jinsi ya kujaza form ya mkopo undergraduate degree je unaijaza form kabsa Online kisha unadownload au unaidownload mwnz kabla ya kujaza unaijza kwa pen? Naomba kufaham celew mambo hayo
 
unaijaza online mkuu, ukimaliza unahikiki taarifa vizuri then unaidownload na kuprint
 
Jamani kuna kijana kalipia toka jana mpesa ila sms haijaja mpaka leo
 
Vp kitambulisho cha mdhamini cha kura kinachohitajika ni cha zaman au hichi cha 2015
 
unaijaza online then unadownload unaendelea kujaza kawaida ...mahakamani na sehemu nyingine husika
 
Kuna mtu kakosea sehemu na ame print je nafasi hutolewa kufanya marekebisho?
 
Kuedit baada ya kuprint ni Mara moja tu, ukikosea Zaid ya Mara moja means Tayar umeharibu
 
Naomba Msaada wa Mawasiliano ya Ikungi Sekondari, au mwenye Joining instruction ya Ikungi sekondari kwa msimu wa 2016.
 
Back
Top Bottom