Nenda katika ofisi ya serikali za mitaa eneo unaloishi. Omba barua ya kukutambulisha benki ili uweze kufungua acount. Uwe na picha (Passport size) zenye zenye background nyeupe. Peleka barua kwenye tawi la bank lililo karibu na wewe. Uwe na kitambulisho (kupigia kura,Leseni au Passport).Habari ndugu zangu.
Naomba kujua vigezo, sheria na mashart ya kufungua account bank ya nmb.