Kaluluma
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 474
- 622
Habari za leo wakuu,niko njiani kuelekea chuo cha madini Dodoma kutoka Mwanza,mwenye kufahamu jinsi ya kufika chuoni hapo naomba anielekeze.
1.sehemu ya kushukia
2.Nitakapopata usafiri wa kuelekea chuoni hapo.
3.Nauli ni kiasi gani
4.kitu chochote cha ziada
Natanguliza shukrani🙏🙏
1.sehemu ya kushukia
2.Nitakapopata usafiri wa kuelekea chuoni hapo.
3.Nauli ni kiasi gani
4.kitu chochote cha ziada
Natanguliza shukrani🙏🙏
