Teacher Emma
Member
- Jul 15, 2015
- 21
- 9
Habari zenu wadau!?
Katika tangazo lililotolewa na TCU juu ya hatua za kufanya second round application wameonesha unaweza kujaza hadi vyuo vitano kwa wale waliokosa first round application lakini ukifanya inakuja option ya kujaza tu chuo kimoja. Na ukibofya sehemu ya kuangalia rejected reasons bado vinaonekana vyuo nilivyojaza kwenye first round application. Mwenye kuelewa tafadhali anijuze hii imekaaje.
Katika tangazo lililotolewa na TCU juu ya hatua za kufanya second round application wameonesha unaweza kujaza hadi vyuo vitano kwa wale waliokosa first round application lakini ukifanya inakuja option ya kujaza tu chuo kimoja. Na ukibofya sehemu ya kuangalia rejected reasons bado vinaonekana vyuo nilivyojaza kwenye first round application. Mwenye kuelewa tafadhali anijuze hii imekaaje.