Ngumu kumeza
JF-Expert Member
- Jun 19, 2012
- 577
- 354
Habari wakuu
Niende kwenye mada moja kwa moja, wakuu naomba msaada wenu kuelekezwa namna ya kutoa lock kwenye simu yangu nimesahau password.
Natanguliza shukrani.
Niende kwenye mada moja kwa moja, wakuu naomba msaada wenu kuelekezwa namna ya kutoa lock kwenye simu yangu nimesahau password.
Natanguliza shukrani.