Msaada jinsi ya ku root tecno h5

Msaada jinsi ya ku root tecno h5

Joined
Feb 17, 2015
Posts
35
Reaction score
11
Wanajamvi nina simu aina ya tecno h5 android version 4.2.2 (jelly bean ) nataka kuiwekea rom mpya ya kitkat 4.4.2 naombeni msaada jinsi ya kuroot iyo cm na kuweka custom rom inayo faa nisije uwa simu angu! Pia ningependa kujua app ipi ya ku root mungependekeza niitumia kulingana na sim angu? Ahsanten
 
Hii kitu ku-root simu huwa siijui na faida zake pia sizijui
 
Hata mimi sijui maana ya kuroot nini faida zake nini athari mbaya za kuroot simu chief Mkwawa hebu tujuvye
 
Wanajamvi nina simu aina ya tecno h5 android version 4.2.2 (jelly bean ) nataka kuiwekea rom mpya ya kitkat 4.4.2 naombeni msaada jinsi ya kuroot iyo cm na kuweka custom rom inayo faa nisije uwa simu angu! Pia ningependa kujua app ipi ya ku root mungependekeza niitumia kulingana na sim angu? Ahsanten

jaribu towel root ikigoma tumia frama root..ikizngua malizia na root genious hii haikatai simu hasa mediatek
 
jaribu towel root ikigoma tumia frama root..ikizngua malizia na root genious hii haikatai simu hasa mediatek

Lakini ipo ROM ya kitkat kwa ajili ya hiyo tecno?
 
jaribu towel root ikigoma tumia frama root..ikizngua malizia na root genious hii haikatai simu hasa mediatek

Lakini ipo ROM ya kitkat kwa ajili ya hiyo tecno? Atafute kwanza ROM ya model ya tecno yake kabla ya kufanya chochote.
 
Ukisha root na kuinstall clockworkmod ROM manager kwenye simu yako ingia hapa na kufuata maekekezo.
Msaada nina simu yangu lg lu6200 Korea version.... nimeroot tayari sasa nataka kuweka ROM kitkat now it ruunning Jellybean 4.1.2.....sasa kimbembe kinakuja katika kuweka CWM RECOVERY.....nimetumia method walizoweka kule XDA lakini imegoma naomba msada hapo namna yakufanya Mwl.RCT
 
Last edited by a moderator:
Kuroot ni risk sana kama huna ujuzi! Tayar kitecno changu kisha kuwa kimeo! Kinajizizma na kujiwasha chenyewe smtimes hakijai chaj!!! 🙁
 
Back
Top Bottom