Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,040
- 1,273
Habari wadau,nimeona kwenye baadhi ya vyuo kwenye hizi applications za vyuo mwaka huu 2017/18,wanahtaji cheti origino cha form six, swali langu ni..inakueje kwa waliomaliza mwaka huu.
Maana hawana hivyo vyeti,au kama itatumika RESULT SLIP je ninaweza ipata hapo Baraza la mitihani au ndio lazima kuifuata Kigoma Secondary nilipomalizia form six,maana kwa sasa nipo Dar.
Msaada kwa anaejua tafadhali
Maana hawana hivyo vyeti,au kama itatumika RESULT SLIP je ninaweza ipata hapo Baraza la mitihani au ndio lazima kuifuata Kigoma Secondary nilipomalizia form six,maana kwa sasa nipo Dar.
Msaada kwa anaejua tafadhali