Tafadhari ndugu zangu, rejea Maelezo hapo juu, Naomba Msaada nitapataje maelekezo muhimu y'a kujiunga Kidato cha kwanza 2018 Tabora boys. Natanguliza shukrani n'a J. Poli njema.
Sawa mkuu, Msaada wako tafadhari kuhusu ombi langue maana Nipo Dsm n'a sijui nitapataje maelekezo. Ulisoma Tabora boys ? Hebu ni Pm hiyo ne y'a Mwalimu Mange labda ataweza nisaidia shida yanguMkuu ukifika kule msalimie Mwalimu Maige
Kama una Ndugu Jamaa au rafiki anayeishi Tabora mtume akakuchulie na akutumie kwa njia ya ems au nenda mwenyewe kachukues
Sawa mkuu, Msaada wako tafadhari kuhusu ombi langue maana Nipo Dsm n'a sijui nitapataje maelekezo. Ulisoma Tabora boys ? Hebu ni Pm hiyo ne y'a Mwalimu Mange labda ataweza nisaidia shida yangu
Tafadhari ndugu zangu, rejea Maelezo hapo juu, Naomba Msaada nitapataje maelekezo muhimu y'a kujiunga Kidato cha kwanza 2018 Tabora boys. Natanguliza shukrani n'a J. Poli njema.
mkuu bado sijapata ufumbuzi, Hebu Nipe connection/contact détails Tabora boysKama mpaka sasa hujapata ufumbuzi wa hilo nitafute kesho nitakusaidia. Mimi nilisoma A level palé karibia miaka ishirini imepita sasa, Í still have good connections with the school. Tabora School kichwa cha Tanzania