Msaada jins ya kuunganisha modem kwenye Tablet

Msaada jins ya kuunganisha modem kwenye Tablet

Mchakatoh

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
326
Reaction score
62
Waugwana naomba msaada wa maelekezo jinsi gani naweza kuunganisha modem(HUAWEI E173) kwenye Tablet>CUBE K8GT inatumia android v4.0 ili iweze connet internet coz haitumii SIM card...Natanguliza shukran!
 
Mi ninayo tablet ya mchina. Ukitaka internet tafuta modem ya 3g ndio itafaa. Mi natumia modem ya Safaricom 3g nilinunua ofisi za zain nimeweka line ya vodacom nakula cheka internet kama kawa.
 
Nmewapata lakn mr the chonji hyo tablet ni model ipi na inatumia OS ipi?
 
Back
Top Bottom