Nasumbuliwa na jino linauma sana wakati wa kunywa Chai au juice nimetumia dawa za kutuliza maumivu na Mouth wash lakini tatizo limekua likiendekea, Nikinywa Chai au juice na Tikiti maji jino linauma .
Hospital wamesema jino lipo vizuri halina tatizoJino hakuna dawa ya kienyeji itakutibu upone.
Unachofanya unatuliza tu Ila Kama ni jino la juu badlisha upande wa kutafunia
Nenda hosptali either walitoe au walizibe Kama limeliwa na wadudu au wakate miashipa .
Dawa za kituliza maumivu ya jino
Mkojo wa Ahsubui
Maji ya chumvi
Kuswaki kabla ya kulala
Tumia Colgate
Tumia diclop
Nasumbuliwa na jino linauma sana wakati wa kunywa Chai au juice nimetumia dawa za kutuliza maumivu na Mouth wash lakini tatizo limekua likiendekea, Nikinywa Chai au juice na Tikiti maji jino linauma .