Msaada: Jiko la gesi

Msaada: Jiko la gesi

tricecriss

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
225
Reaction score
59
Habari wana JamiiForums?

Shida yangu ni kuhusu jiko la gas ninampango wa kununua jiko la gas la plate mbili issue ni jiko gani bora na lisilotumia gas nyingi na nitalipata kwa sh ngapi? Maana nimesikia kuna majiko fake na yanayotumia gas nyingi.

Mwenye ufahamu wa hilo naomba anisaidie vigezo vya kupata jiko bora ni nini nizingatie na nini kifanyike.

Natanguliza shukrani
 
kunakampuniinaanza na O. wapo maeneo mengi nchini
swala lakumaliza gesi haraka hiloniswala lazile koki sidhani kama inahusiana na ainaya mtungi au wataalamu mnasemaje?
 
Tafuta jiko la Nipotec kama uko Dar nenda kwenye supermarket za jeshi utalipata.
 
Oleksi ndivyo linavyotamkwa lakini spelling haziandikwi hivyo, liko poa sana
 
Jiko la gesi ni noumaaa. ....karibu kwenye jiko lililo na karaha. .. no moshi no makini. .. mie hapa aaah kwa raha zangu nakarangiziwa tuu na Deo. ....
 
Majiko yote uliyo tajiwa ni fake na yana kula gas nyingi sana. Kwa ushauri kanunue jiko linaitwa VAN HOT POINT. ndio jiko bora na lakisasa linakula gas kidogo sana tena utapata la kioo wanauza 125, 000. Mpaka 120, 000.
 
Majiko yote uliyo tajiwa ni fake na yana kula gas nyingi sana. Kwa ushauri kanunue jiko linaitwa VAN HOT POINT. ndio jiko bora na lakisasa linakula gas kidogo sana tena utapata la kioo wanauza 125, 000. Mpaka 120, 000.

Hii kitu sio mchezo ime simama ile mbaya
 
Back
Top Bottom