MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Poleni na majukumu ya kila siku! Ndugu zangu Naomba kwanza nithamin mchango wenu katika suala la kujali Afya za watanzania wenzenu kwa kutoa elimu,na msaada wa kimawazo bure pasipo na tozo yeyote! Mbarikiwe! Kwa hilo Mwenzenu nina "tatizo la kupata maumivu ya muda mrefu katika uume baada ya kufanya mapenzi"maumivu hudumu kwa takribani miez mitatu tatizo nini naombeni msaada wenu!