msaada jamani

msaada jamani

jefta yusuph

New Member
Joined
May 29, 2015
Posts
4
Reaction score
0
sisi tuliofanya application kwa awamu ya tatu mbona majina hayatoki au ndo hivo tena tulifarijiwa kufanya application lakini hakuna nafasi
 
sisi tuliofanya application kwa awamu ya tatu mbona majina hayatoki au ndo hivo tena tulifarijiwa kufanya application lakini hakuna nafasi

mbona yashatoka,,mm nimechaguliwa udom ila cha ajabu nikiingia kwenye website ya udom jina langu halipo...what's wrong jamani
 
Back
Top Bottom