Mh!!ushapigwa wangu,izo za kichina full majanga,nami mwanzo niliwahipatikana nikauziwa kama iyo,ilikua kushika net mpaka ijisikie,nikafundishwa kununua vitu original,now sina tabu full ku enjoy
Hhahaa itabidi na mm nianze kununua vitu original ila hii ya kwangu mkuu mambo ya net unakimbiza kishenzi mpaka nikadhanishi labda instolation itakubali
uliwezaje kuunganisha internet, ninayo ila inanisumbua kwenye kuunganisha.
kaka kuna simu za kichna imara, na ni za kisasa tena kuliko hzo unazozijua mana zipo android na windows phone zinaitwa xiaomi,
japokuwa inasemwa kuna vitu wamecopy apple,
ila wanapeta tu na wameingia gsm arena ingia hapa
.
.
all xiaomi phones
.
.