Unsupported Browser Nafikiri simu yako iko blocked, jaribu kuingiza IMEI number kwenye box ya hiyo link itakwambia kama ipo reported as lost or stolen. Halafu tujurishe.
mkuu huwa simu za t-mobile za sasa huwezi ku unlock frequency yao ya 3g ni 1700 wakati bongo tunatumia 1900 au 2100 so ni never kukubali uza tu hio simu.
kwa 2g unaweza tumia nenda setting then mobile network then network mode chagua gsm kama network
Kwahyo mkuu hata nikiiflash cwez pata 3g?
Mkuu vp kuhusu galaxy music ni nzuri kwa matumizi yetu ya kibongo?
haya Jaman Na Mm Msaada Hapa Hapa! Kuna Mtu KANLETEA androids ya vodaföne ila ni Ile Huawei U8160 au Wengne Huziita Vodafone 858 Smart nmuwekee Internet! Nmecreate APN vzur Ila Pale Juu Haitokei E, Wala H wala G ! sasa Hapa Inataka kunipasua Kichwa! sjui Mnanisaidia Vp?
![]()
yah kama ni t-mobile hii ninayoijua mimi huwezi maana ni hardware zake ndo zipo tofauti.
ila try ur luck
1. make sure mobile data imetikiwa possible ipo off
2. ikishndikana kwenye kutengeneza apn nenda apn type eka default au acha blank