Kafanyiwe maombi mkuu, kama unaamini katika maombimm nasumbuliwa na kichwa na mwili unachemka sana na hata nguvu sina hili tatizo limeanza Muda mrefu nimehangaika hospital kubwa kila nikipima majibu yanakuja sina tatizo na mm najiona naumwa sasa nimekosa cha kufanya kwa kweli mm natumia bima ya afya jamani naombeni msaada nikapime kipimo gani daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah?